1 of 40

SIKU AMBAYO MUNGU …

Mwanzo 1

Tumaini la Mataifa

2 of 40

SIKU YA 2�SIKU AMBAYO MUNGU ALIUMBA ANGA-WAKATI

Tumaini la Mataifa

Notsi za Darasa:

3 of 40

4 of 40

Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji. Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo. Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili..

Mwanzo 1:6-8

5 of 40

Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji. Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo. Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.

Mwanzo 1:6-8

רָקִיעַ

rāqîaʿ

Uso ulioenea, upanuzi, anga

Lilionwa na Waebrania kama thabiti na lenyekushikilia maji juu

שָׁמַיִם

Šāmayim

Mbingu zinazoweza kuonekana, mbingu

6 of 40

Mtazamo wa Waebrania wa Kale Kuhusu Ulimwengu

7 of 40

Anga

Dunia

Mwanzo 1:6-8

8 of 40

Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji. Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo. Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.

Mwanzo 1:6-8

Anga hilo ni nini?

9 of 40

Fafanuzi Zinazowezekana Kuhusu Anga

  • Anga; nafasi kati ya bahari na kifuniko/tabaka la mvuke?
  • Siyo uhalisia bali mtazamo wa mbingu. Kuba ya mbinguni?
  • Nafasi ya nje yenye ulimwengu ulio na mipaka … uliopakana na maji?”

10 of 40

Anga

Dunia

Mwanzo 1:6-8

Mfano wa Ulimwengu Wenye Mipaka

  • • Dunia ikiwa katikati
  • • Ulimwengu wenye mipaka ya maji ungesababisha ulimwengu kupanuka
  • • Inaeleza uchunguzi wa Edwin Hubble kuhusu mkengeuko mwekundu (red shift)
  • • Ina athari za kuvutia katika uhusiano wa muda na upanuzi wa muda (time dilatation)

11 of 40

Nyota na sayari ziliumbwa katika Siku ya 4

12 of 40

Sisi tunaishi hapa.

Hakuna Mungu

Mjue Mungu

  • Dunia iliumbwa na Mungu
  • Siku ya pili, maji yaliondolewa kutoka duniani na kuhamishwa kwenda juu ya ‘anga imara’
  • Dunia ndiyo kitovu cha uumbaji wa Mungu wa ulimwengu
  • Dunia ni muhimu kwa sababu ndiko Mungu anapofanya kazi yake.
  • Dunia inapanuka bila kikomo (kutokana na mlipuko) katika nafasi tupu
  • Kila kitu katika ulimwengu ni cha nasibu na dunia haina nafasi ya kipekee
  • Huenda kuna uhai katika sayari nyingine zinazofanana na yetu
  • Ni upuuzi na si wa kisayansi kudhani kwamba kuna lolote la kipekee kuhusu dunia.

13 of 40

Nafasi (Space) ni Nini?

Imefanyizwa na nini?

14 of 40

Nadharia ya Aether

  • Aristotle alidhani kwamba aether ni kipengele cha tano cha kiasili (pamoja na maji, moto, hewa na ardhi). Aristotle alidai kwamba mbingu haziwezi kutengenezwa na dutu yoyote ya kidunia kwa sababu hazibadiliki, hivyo lazima ziwe zimetengenezwa kwa dutu ya mbinguni – aether.

15 of 40

  • Isaac Newton alidai kwamba aether ilihitajika ili kusafirisha mwanga au joto kupitia nafasi au ombwe.

Nadharia ya Aether

16 of 40

17 of 40

Nguvu ya Mvutano

18 of 40

Biblia inaelezea mbingu kama kitambaa.

19 of 40

Umejivika nuru kama vazi;

Umezitandika mbingu kama pazia.

Zaburi 104:2

Yeye hutandaza kaskazi juu ya nafasi isiyo na kitu,

Na kuutundika ulimwengu pasipo kitu. Ayubu 26:7

Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa.

Isaya 40:22

Mungu BWANA anena, yeye aliyeziumba mbingu, na kuzitanda; yeye aliyeitandaza nchi na mazao yake Isaya 42:5

Mimi nimeiumba dunia, nimemhuluku mwanadamu juu yake; Mimi, naam, mikono yangu mimi, imezitanda mbingu, na jeshi lake lote nimeliamuru. Isaya 45:12

Ameiumba dunia kwa uweza wake,

Ameuthibitisha ulimwengu kwa hekima yake,

Na kwa ufahamu wake amezitandika mbingu. Yeremia 51:15

20 of 40

Mwaka 1915, Albert Einstein alichapisha Nadharia yake ya Jumla ya Uhusiano (General Theory of Relativity). Badala ya kitu kimoja kuvutwa na kingine kupitia aether, Albert Einstein aliona mvutano kama matokeo ya kupinda kwa anga. Alisema kwamba vitu vyote katika ulimwengu vimekaa juu ya kitambaa laini chenye vipimo vinne kinachoitwa anga‑wakati. Miili mikubwa kama vile jua hupindisha anga‑wakati livizunguke, na hivyo obiti ya dunia ni matokeo ya sayari yetu kufuata upinde huo.

Nadharia ya Anga-Wakati

21 of 40

22 of 40

Kama Mungu aliyatenga yale maji yaliyo juu ya anga kutoka yale maji yaliyo chini ya anga, je, hatupaswi kuona baadhi ya ushahidi?

23 of 40

Anga

Dunia

Ushahidi wa kuyatenga maji ya mbingu kutoka maji ya nchi.

24 of 40

Ushahidi wa kuyatenga maji ya mbingu kutoka maji ya nchi.

25 of 40

Mihiri

(Mars)

26 of 40

Ukanda wa Kuiper

27 of 40

Pluto

28 of 40

deuteriumu

tritiumu

neutroni

Heliumu

Muungano wa viini vidogo

Nyota

Maji H2O

29 of 40

Zaburi 148:3-4

Msifuni, jua na mwezi;

Msifuni, nyota zote zenye mwanga.

Msifuni, enyi mbingu za mbingu,

Nanyi maji mlioko juu ya mbingu

שָׁמַיִם shamayim

Mbingu moja, mbingu zaidi ya moja, mbingu (mf. ya mawingu)

30 of 40

31 of 40

32 of 40

"Waweza kuiinua sauti yako mpaka mawinguni,

ili wingi wa maji ukufunikize? Waweza kuutuma umeme, nao ukaenda, Ukakuambia, Sisi tupo hapa? Je! Ni nani aliyetia hekima moyoni? Au ni nani aliyetia ufahamu rohoni? Ni nani awezaye kuyahesabu mawingu kwa hekima? Au ni nani awezaye kuzimimina chupa za mbinguni? Ayubu 38:34-37

33 of 40

Mawingu ya Kumulusi

34 of 40

Mawingu ya Stratusi

35 of 40

Mawingu ya Nimbostratusi

36 of 40

Mawingu ya Cirusi

37 of 40

Mawingu ya Cumulonimbusi

38 of 40

Psalm 19:1

Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu,

Na anga laitangaza kazi ya mikono yake.

שָׁמַיִם shamayim

Mbinngu moja, mbingu zaidi ya

moja, mbingu (anga)

רָקִיעַ raqiya

Upana au tao linaloweza kuonekana la anga

39 of 40

40 of 40

SIKU YA 2�SIKU AMBAYO MUNGU ALIUMBA ANGA-WAKATI

Tumaini la Mataifa