SIKU AMBAYO MUNGU …
Mwanzo 1
Tumaini la Mataifa
SIKU YA 4�SIKU AMBAYO MUNGU ALITOA MSUKUMO WA KIBIOLOJIA & MCHEMRUKO WA UBUNIFU
Tumaini la Mataifa
Notsi za Darasa:
Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na kitu kiendacho chenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu. Mungu akaumba nyangumi wakubwa, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho, ambavyo maji yalijawa navyo kwa wingi kwa jinsi zao, na kila ndege arukaye, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akavibarikia, akisema, Zaeni, mkaongezeke, mkayajaze maji ya baharini, ndege na wazidi katika nchi. 23Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano.
Mwanzo 1 : 20 - 23
SIKU YA 5
Kwa nini Mungu aliwaumba ndege?
Msukumo wa Kibiolojia
Wao hutoa …
Msukumo wa Kibiolojia
Msukumo wa Kibiolojia
Msukumo wa Kibiolojia
Msukumo wa Kibiolojia
Msukumo wa Kibiolojia
Aina za Manyoya
King Fisher wa Tanganyika
Ndege Msafishaji wa Kiafrika
Korongo wa Domoo la Njano
Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Ninyi je! Si bora kupita hao? Mathayo 6:26
Je! Mashomoro wawili hawauzwi kwa senti moja? Wala hata mmoja haanguki chini asipojua Baba yenu.
Msiogope basi; bora ninyi kuliko mashomoro wengi.
Mathayo 10:29 & 31
Kwa manyoya yake atakufunika,
Chini ya mbawa zake utapata kimbilio;
Uaminifu wake ni ngao na kigao.
Zaburi 91:4
Bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia. Isaya 40:31
Mungu aliumba pia …
Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na kitu kiendacho chenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu. Mungu akaumba nyangumi wakubwa, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho, ambavyo maji yalijawa navyo kwa wingi kwa jinsi zao, na kila ndege arukaye, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.
Mungu akavibarikia, akisema, Zaeni, mkaongezeke, mkayajaze maji ya baharini, ndege na wazidi katika nchi. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano.
Mwanzo 1 : 20 - 23
SIKU YA 5
Kwa nini Mungu aliwaumba samaki?
Mchemruko wa Ubunifu
Samaki wa Cichlids wa Ziwa Tanganyika
Dagaa wa Ziwa Tanganyika
“Lakini sasa waulize hao wanyama, nao watakufundisha; Na nyuni wa angani, nao watakuambia; Au nena na nchi, nayo itakufundisha; Nao samaki wa baharini watakutangazia. Katika hawa wote ni yupi asiyejua, Kwamba ni mkono wa BWANA uliofanya haya? Ambaye nafsi ya kila kilicho hai i mkononi mwake,” Ayubu 12:7-10
…samaki ndani ya bahari,
na kila kitu kinachoogelea mikondo ya bahari.
Wewe, MUNGU, Bwana wetu
Jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!
Zaburi 8
Mbingu na nchi zimsifu,
Bahari na vyote viendavyo ndani yake.
Zaburi 69:34
Mwanadamu ana jukumu hai alilopewa na Mungu katika mfumo wa ikolojia.
Majukumu Ambayo Mungu Amempa Mwanadamu
…kulingana na Mwanzo
Majukumu Ambayo Mungu Amempa Mwanadamu
…kulingana na Mwanzo
Uwakili
Uwakili wa Mazingira
Uwakili wa Mazingira
Uwe Mwanamazingira wa Kibiblia
SIKU AMBAYO MUNGU …
Tumaini la Mataifa